Qarii
IQNA – Sheikh Shaban Abdul Aziz Sayyad, qari mashuhuri wa Misri ambaye alijulikana kwa ufasaha, uwezo na umahiri wake wa kusoma Qur’ani Tukufu, alifariki Januari 29, 1998, akiwa na umri wa miaka 58.
Habari ID: 3478284 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/01
Wasomaji Maarufu wa Qur'ani Tukufu /29
TEHRAN (IQNA) - Kunaweza kuwa na makari wachache sana kama Sheikh Shaban Abdul Aziz Sayyad katika suala la ufasaha, uwezo wa sauti, na kufahamiana na Sawt, Lahn na Maqamat ya Qur'ani.
Habari ID: 3476695 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/12